Board Members
The Board provides strategic leadership, oversight, and governance to support accreditation, professionalism, and public trust in journalism.
Chairperson
Chairperson Name
Provides strategic leadership and governance oversight to strengthen accreditation systems, ethical journalism, and public trust.
Board Members
Profiles of selected Board Members supporting governance, ethical journalism, and accreditation systems.
Mgaya Bakari Kingoba
Mbali ya kuwa Mjumbe wa Bodi ya Ithibati ya Wanahabari (JAB), Mgaya Bakari Kingoba ni mwanataaluma ya habari mwenye uzoefu wa miaka 30. Kwa sasa ni Kaimu Meneja Huduma za Habari za Kiswahili katika Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN).
Read full profile
Kabla ya wadhifa wa sasa, amehudumu kama Mhariri wa Gazeti la HabariLEO, na pia amewahi kuwa Mhariri wa Michezo, Mhariri wa Habari za Wikiendi na Mhariri wa Habari kwa miaka saba mfululizo.
Kabla ya kujiunga na TSN Novemba 2006, Kingoba alifanya kazi kwa miaka 10 katika iliyokuwa Kampuni ya Habari Corporation ambako alishikilia nyadhifa kadhaa ikiwamo kuwa Mhariri wa Michezo wa magazeti ya RAI na Mtanzania, Mhariri wa Habari wa Mtanzania, na Mhariri mwanzilishi wa gazeti la kwanza la michezo la kila siku nchini, Bingwa mwaka 1999.
Amewahi kuongoza vyama vya kitaaluma ikiwamo Makamu Mwenyekiti wa TASWA (2004–2007) na baadaye tena (2007–2010). Pia alikuwa Jaji wa Tuzo za Wanamichezo Bora Tanzania (BMT) mwaka 2023.
Ni mwanachama wa TEF, JET, TASWA na DPC. Amefuatilia na kuripoti mikutano mbalimbali ndani na nje ya nchi ikiwamo Bunge la Tanzania (2004–2019), kampeni za Uchaguzi Mkuu (2005, 2010, 2025), AU (2008, 2012, 2013), SADC (2012), FOCAC (2012), na AIPS (2008, 2010).
Kitaaluma: Master in Mass Communication (SAUT), BA in Mass Communication (TUDARco), Diploma (SAUT) na Certificate (TSJ) katika uandishi wa habari.
Dr. Rose Reuben
Dr. Rose Reuben is a Tanzanian media leader and digital journalism scholar with over two decades of experience promoting ethical journalism, media accountability, and professional standards. As Executive Director of TAMWA Mainland, she has led nationwide initiatives strengthening journalists’ capacity in ethical reporting, gender-sensitive storytelling, digital safety, and responsible use of emerging technologies.
Read full profile
Holding a Master’s degree in Digital Journalism, Dr. Reuben has conducted research on Artificial Intelligence in Tanzanian newsrooms, contributing to policy discussions on innovation, newsroom governance, and media ethics in the digital era.
She collaborates with government institutions, regulatory bodies, civil society organisations, and regional networks to enhance journalists’ competencies in ethical reporting, gender-sensitive journalism, digital safety, and responsible use of technology.
Dr. Egbert Emmanuel Mkoko
Dr. Egbert Emmanuel Mkoko ana uzoefu wa zaidi ya miaka 25 katika tasnia ya uandishi wa habari za utangazaji. Kwa sasa ni Mhadhiri na Mratibu wa Utafiti na Ubadilishanaji wa Maarifa katika Shule Kuu ya Uandishi wa Habari na Mawasiliano kwa Umma (SJMC), UDSM.
Read full profile
Dr. Mkoko alianza safari kama mwandishi wa habari katika Radio Free Africa na Star TV. Baada ya BA Journalism (UDSM), alijiunga UDSM kama Tutorial Assistant. Aliendelea na MA (Rhodes University) na PhD (Nelson Mandela University) mwaka 2021.
Utafiti wake wa PhD uliosaidia TBC kuanzisha utaratibu mpya wa uzalishaji na uwasilishaji habari wa ARIDHIO. Pia anatoa ushauri wa kitaalamu: mikakati ya mawasiliano, mifumo ya utafiti, kupitia mitaala, mafunzo na Training of Trainers (ToT).