Ithibati Yatajwa Kuimarisha Uaminifu wa Sekta ya Habari na Uchumi wa Vyombo vya Utangazaji
Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imesema utekelezaji wa mfumo wa ithibati ni hatua ya kimkakati ya kuimarisha uaminifu, weledi na ushindani wa sekta ya habari, huku ikichochea ukuaji wa uchumi wa vyombo vya utangazaji katika mazingira ya ushindani wa kidijitali.
Read Full Story →