JAB Yampa Onyo Kali Mwandishi kwa Kukituka Maadili ya Uandishi wa Habari
Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imempa onyo kali mwandishi wa habari Bw. Kelvin Justine Raphael (maarufu kama ZUNGU Matejo) kwa kukiuka maadili ya taaluma ya uandishi wa habari kupitia lugha ya matusi, kejeli na isiyo staha katika taarifa alizochapisha kuhusiana na tukio la uchelewaji wa ndege ya ATCL. JAB imesisitiza kuwa endapo vitendo hivyo vitaendelea, hatua kali za kisheria zitachukuliwa ikiwemo kusimamishwa au kufutiwa ithibati ya uandishi wa habari.
Read Full Story →